Mchezaji wa Timu ya Mafunzo akimpita beki wa Timu ya Zimamoto katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Kanda ya Unguja uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Mazingira Wezeshi ya Serikali Yafungua Fursa Mpya za Uwekezaji Kupitia TAWA
-
📍 Milango ya uwekezaji bado iko wazi
Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema kuwa Serikali
ya Jamh...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment