Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Wabunge, wa kwanza kushoto Stephen Masele ambaye amechaguliwa
kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika aliyeambatana na Mbunge mwingine Mboni
Mhita (kulia) ambaye pia amechaguliwa
kuwa Rais wa Caucus ya vijana ya Bunge la Afrika katika uchaguzi uliofanyika
Afrika ya Kusini wiki iliyopita.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mbunge wa
Shinyanga mjini Stephen Masele ambaye amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Bunge
la Afrika mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wanahabari mara baada ya kuwapongeza wabunge hao wa Tanzania waliochaguliwa
kushika nafasi za juu katika Bunge la Afrika.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimpongeza Mbunge wa Shinyanga mjini Stephen Masele ambaye amechaguliwa kuwa Makamu
wa Rais wa Bunge la Afrika mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu jijini Dar
es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mbunge
Mboni Mhita kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa
Caucus ya vijana ya Bunge la Afrika katika uchaguzi uliofanyika Afrika ya
Kusini wiki iliyopita.
(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment