Mwenyekiti wa Taasisi ya Samael Academy and College, akizungumza na Waandishi wa habari juu ya kuanzishwa kwa taasisi hiyo na kuanzishwa chuo kitakachotowa mafunzo ya ufundi ambayo yanalengo la kuwafanya Vijana waweze kujiajiri wenyewe na kupambana na Umaskini.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment