Mwenyekiti wa Taasisi ya Samael Academy and College, akizungumza na Waandishi wa habari juu ya kuanzishwa kwa taasisi hiyo na kuanzishwa chuo kitakachotowa mafunzo ya ufundi ambayo yanalengo la kuwafanya Vijana waweze kujiajiri wenyewe na kupambana na Umaskini.
Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum, ikiwemo Watu wenye
ulemavu ili waweze kuepukana na hali tegemezi.
-
Mwakilishi wa viti maalum kupitia Watu wenye ulemavu Mhe. Zainab Abdallah
Salim amewataka Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum,
ikiwemo ...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment