Habari za Punde

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli Akutana na Katibu Mkuu wa CCM Ndg.Omar Abdulrahaman Kinana Ikulu Jijini Dar es Salaam Leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)) Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana baada ya kukutana na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumapili Mei 27, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)) Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana baada ya mazungumzo yao yaliofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam.(Picha na Ikulu )

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.