Habari za Punde

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba. Mhe. Hemed Suleiman Azindua Ufunaji wa Zao la Alizeti Kijiji cha Ole Pemba. Kwa Walengwa wa Mradi wa Kunusuru Kaya Masini Pemba Zilioko Katika Mradi wa Tasaf.


Shamba lennye ukubwa wa ekari moja, lililolimwa zao la Alizeti la walengwa wa mpango wakunusuru kaya masikini shehia ya Mjini Ole, likizinduliwa uvunaji wake na mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla
AFISA Mdhamini Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Pemba, Ali Salim Mata akimfahamisha jambo Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, ambaye pia ni mwenyekiti wakamati ya Tasaf Pemba, kabla ya kuzindua zoezi la uvunaji wa zao la alizeti katika shamba darasa la walengwa wa mpango wakunusuru kaya masikini shehia ya mjini Ole.
AFISA Mdhamini Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba, Ali Salim Mata akimuonesha mfano Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, ambaye ni Mwenyekiti wakamati ya Tasaf Pemba, Hemed Suleiman Abdalla jinsi gani zao la alizeti linavyovunwa, wakati wauzinduzi wa zao hilo katika shamba darasa la walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini shehia ya mjini Ole
WALENGWA wa Mpango wa kunusuru kaya masikini shehia ya mjini Ole, wakivuna zao la alizeti mara baada ya kuzinduliwa zoezi la uvunaji wa zao hilo huko, katika shamba darasa lao shehia ya mjini Ole.

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Hemed Suleiman Abdalla, ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Tasafa Pemba, akizindua zoezi la uvunaji wa zao la alizeti katika shamba darasa la walengwa wa mpango wakunusuru kaya masikini shehia ya mjini Ole.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.