Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Afanya Ziara Kutembelea ZBC Redio Rahaleo Mjini Zanzibar.

Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu anaeshughulikia mambo ya Habari Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya kale Saleh Yussuf Mnemo mara baada ya kuwasili  ZBC Radio kutembelea maeneo mbalimbali ya Studio Rahaleo mjini Unguja.
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akipata maelezo kutoka kwa Msaidizi Mhariri Amour Mussa alipotembelea  Ofisi ya Waandishi wa Habari ZBC Radio  Rahaleo mjini Unguja.
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akipata maelezo kutoka kwa Msaidizi Fundi Mkuu ZBC Radio  Lazaro Josef alipotembelea  chumba cha Mitambo ya kurushia matangazo  Rahaleo mjini Unguja
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akipata maelezo kutoka kwa Fundi Mkuu ZBC Radio  Ali Aboud (kulia)  alipotembelea  chumba cha  matangazo  Rahaleo mjini Unguja.
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akifahamisha kitu wakati  alipotembelea  chumba cha kuhifadhia kaseti mbalimbali aliopotembelea ZBC Radio   Rahaleo mjini Unguja.
Picha na Yussuf Simai - Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.