Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa kikao cha majumuisho ya ziara yake mkoani Songwe kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Chiku Galawa na kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Songwe NduguEllynico Lunanilo Mkola
Makamuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu na kuwapa pole wakazi wa Mbalizi wakati akiwasili mkoani Mbeya tayari kwa ziara ya kuhamasisha shughuli za kimaendeleo
Makamuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu na kuwapa pole wakazi wa Mbalizi wakati akiwasili mkoani Mbeya tayari kwa ziara ya kuhamasisha shughuli za kimaendeleo.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment