Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na
watumishi raia, askari na maafisa (hawapo pichani), wakati wa kikao cha ndani
na watumishi hao wakati wa ziara ya kikazi, mkoani Shinyanga, jana.Ambapo
amewataka askari kutojihusisha na matendo ya rushwa pamoja na kubambikia
rushwa wananchi.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi
Sajenti
wa Jeshi la Magereza, Athumani Massawo, akizungumza wakati wa kikao cha ndani
cha Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (hayupo
pichani), wakati wa kikao cha ndani na watumishi hao wakati wa ziara ya kikazi,
mkoani Shinyanga, jana.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kaimu
Mkuu wa Magereza Mkoa wa Shinyaga,Mrakibu Mwandamizi Venance Mwamakula akizungumza
wakati wa kikao cha ndani cha Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi
Hamad Masauni (hayupo pichani), wakati wa kikao cha ndani na watumishi hao,
mkoani Shinyanga, jana.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Askari
wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo
ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (hawapo pichani), wakati wa kikao cha
ndani na watumishi hao wakati wa ziara ya kikazi, mkoani Shinyanga, jana.Ambapo
amewataka askari kutojihusisha na matendo ya rushwa pamoja na kubambikia
rushwa wananchi.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO
SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
No comments:
Post a Comment