NAIBU Katibu Mkuu
Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar Amour Hamili Bakari,
akizungumza wakati wa usiku wa sanaa, ikiwa ni ufungaji wa tamasha la 23 la
Utamaduni wa Mzanzibari, lilofanyika katika viwanja vya Gombani Chake Chake
Pemba.
MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akitoa salamu za wananchi wa Mkoa wa
Kusini na Kaskazini, wakati wa usiku wa sanaa ikiwa ni Ufungaji wa Tamasha la
23 la Utamaduni wa Mzanzibari, lililofanyika katika viwanja vya michezo Gombani
BAADHI ya Wafanyakazi
wa Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba, wakifuatilia kwa makini
Tamasha la 23 la Utamadunia wa mzanzibar, katika usiku wa sanaa uliofanyika
katika viwanja vya Gombani Nje
MSANII Salum Abdalla
(Kachara) akisoma risala ya wasanii wa Kisiwa cha Pemba, wakati wa ufungaji wa
Tamasha la 23 la Utamaduni wa Mzanzibar, katika usiku wa sanaa huko katika
viwanja vya Gombani Chake Chake
VIONGOZI mbali mbali
wa Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar, wakiongozwa na Naibu
waziri wa Wizara hiyo Lulu Msham Abdalla, kushoto ni Naibu katibu Mkuu wa
Wizara hiyo Amour Hamil Bakari na Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed
Suleiman Abdalla, wakifuatilia kwa makini Usiku wa Sanaa uliofanyika katika
viwanja vya Gombani, ikiwa ni ufungaji wa Tamasha la 23 la Utamaduni wa
mzanzibari
NAIBU waziri wa
Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar Lulu Msham Abdalla,
akisalimiana na Salum Abdalla(Kachara) mara baada ya kumaliza kusoma risala ya
wasanii wa Kisiwa Cha Pemba wakati wa usiku wa sanaa, ikiwa ni Ufungaji wa
Tamasha la 23 la Utamaduni wa mzanzibari
NAIBU wa Wizari wa
Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar, Lulu Msham Abdalla
akisoma taarifa ya Ufungaji wa Tamasha la 23 la Utamaduni wa Mzanzibari lilioambana
na Usiku wa sanaa, huko katika viwanja vya uwanja wa michezo Gombani
WASANII wa Kikundi
cha Maigizo cha Mwinyi Mpeku Kutoka Wete, wakiimba Wimbo maalumu wa Mohamed
Kombo (Mwinyi Mpeku Peku la Ungo) wakati wa Usiku wa Sanaa, katika kilele cha
Tamasha la 23 la Utamaduni wa Mzanzibari, lililofanyika katika Viwanja vya
Gombani Chake Chake Pemba
VIJANA Warhad
Mohammed na Ulfat Juma akisoma utenzi maalumu wa Tamasha la 23 la Utamaduni wa
Mzanzibari, katika usiku wa sanaa ikiwa ni ufungaji wa tamasha hilo,
lililofanyika katika viwanja vya michezo Gombani
WASANII wa Kikundi
cha Sanaa cha Ngoma ya Msewe Kisiwani Pemba, wakiingia katika usiku sanaa ikiwa
ni kilele cha Tamasha la 23 la Utamaduni wa Mzanzibari, huko katika viwanja vya
GombaniChake Chake Pemba
WASANII wa Kikundi
cha Sanaa cha Mwinyi Mpeku Kutoka Wete, wakiongozwa na Salum Abdalla Kachara
kushoto na Mohammed Kombo Mwinyi Mpeku Peku la Ungo Kushoto, wakiwa na wasanii
wenzao Kitatange wakitoa maoja ya igizo katika usiku wa sanaa, ikiw ani
ufungaji wa Tamasha la 23 la Utamaduni wa Mzanzibari lililofanyika viwanja vya
Gombani
WASANII wa Kikundi cha Maigizo cha Mwinyi Mpeku Kutoka Wete,
wakiimba Wimbo maalumu wa Mohamed Kombo (Mwinyi Mpeku Peku la Ungo) wakati wa
Usiku wa Sanaa, katika kilele cha Tamasha la 23 la Utamaduni wa Mzanzibari,
lililofanyika katika Viwanja vya Gombani Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
No comments:
Post a Comment