Habari za Punde

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dkt. Bashiru Ally Amaliza Ziara Yake ya Siku Mbili Kisiwani Pemba.

 Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Dk. Bashiru Ally akiagana na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Shaka Hamdu Shaka mara baada ya kukamilisha ziara yake ya kujitambulisha kwa Wana-CCM Pemba.
Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Dk. Bashiru Ally akiagana na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar Bakari Hamad Khamis mara baada ya kukamilisha ziara yake ya kujitambulisha kwa Wana-CCM Pemba.
Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Dk. Bashiru Ally akiagana na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Uchumi na Fedha Zanzibar Ndugu Afadhali Taib Afadhali (kushoto) mara baada ya kukamilisha ziara yake ya kujitambulisha kwa Wana-CCM Pemba.


Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Dk. Bashiru Ally akiwa katika ndege ya Kampuni ya Assalam Air akiwapungia mkono wana CCM na viongozi wa CCM walioshiriki kumuaga katika uwanja wa ndege Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.