KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akishiriki
katika matembezi ya mapokezi yake Zanzibar akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar Dk. Abdalla Juma Mabodi na Viongozi wengine wakiwa katika matembezi
hayo wakielekea Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar kuzungumza na Wanachama wa
CCM Zanzibar wakati wa ziara yake ya siku mbili Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiri Ally akivishwa shada la mau wakati
alipowasili katika viwanja Vya Afisi Kuu ya CCM, wakati wa ziara yake Zanzibar
ya Siku mbili.na kuwahutubia Wanachama wa CCM katika viwanja hivyo
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu
ya CCM Taifa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi,
alipowasili katikla viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar akiwa
katika ziara yake na kuzungumza na Wanachama wa CCM Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akisalimiana na Viongozi wa CCM
Zanzibar alipowasili katika viwanja vya CCM Kisiwandui Zanzibar kuzungumza na
Wanachama wa CCM Zanzibar akiwa katika ziara yake Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akiwapungia mkono wananchi
waliokuwakatika maandamano maalumu yalioandaliwa kwa ajili ya mapokezi yake
katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akiwapungia mkono wananchi waliokuwakatika maandamano maalumu yalioandaliwa kwa ajili ya mapokezi yake katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashuri Ally akiwa na viondozi wa CCM Zanzibar
wakiomba dua wakati alipotembelea kaburi la muassisi wa Mapinduzi ya Zanzibar
Marehemu Mzee Abeid Amani Karume Afisi Kuu Kisiwandui Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akisalimiana na Mzee wa CCM Zanzibar
Bi,Khadija Jabir, alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar
wakati wa ziara yake Zanzibar na kuzungumza katika mkutano wa hadhara katika
viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akisaini kitabu cha wageni Afisi Kuu
ya CCM Zanzibar wakati wa ziara yake na kuzungumza katika mkutano wa hadhara
katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar
VIJANA wa Chama Cha Mapinduzi wakihamasisha Wanachama wakati wa
mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally Zanzibar akiwa katika
ziara ya siku mbili
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar Dk. Abdalla Juma Mabodi wakitoka katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
baada ya mazungumzo yake na Wafanyakazi wa CCM Zanzibar kabla ya kuhutubia
mkutano wa hadhara katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar.
MASANII wa muziki wa Kizazi kipya Zenj Flava Unit Ismail Mustafa akitowa
burudani wakati wa mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally
uliofanyika katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
KATIBU Mwenezi Idara ya Uenezi Zanzibar Bi. Catherina Peternao
akizungumza wakati wa mkutano huo wa hadhara kabla ya kumkaribisha Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Juma Abdallah Mabodi kumkaribisha mgeni rasmin
kuwahutumia WanaCCM Zanzibar katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akionesha Kadi za Wanachama Wapya
kutoka CUF na kujiunga Chama cha Mapinduzi kutoka Mkoa wa Kusini Unguja akipata
maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ramadhan
Abdalla, wakati wa hafla hiyo ya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Afisi
Kuu ya CCM Kisiwandyui Zanzibar
WANACHAMA Wapya wa Chama Cha Mapinduzi wakitokea Chama cha CUF Tawi la
Mtendeni Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja wakionesha kadi zao za CUF na
kuzikabidhi kwa Katibu Mkuu wa CCM na kujiunga na CCM, wakati wa mkutano huo wa
hadhara katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Juma Abdalla Mabodi akizungumza na
Wanachama wa CCM kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dk.
Bashiru Ally, kuwahutubia WanaCCM katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM
kisiwandui Zanzibar akiwa katika ziara yake Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akionesha Kadi za Wanachama Wapya
kutoka CUF na kujiunga Chama cha Mapinduzi kutoka Mkoa wa Kusini Unguja akipata
maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ramadhan
Abdalla, wakati wa hafla hiyo ya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Afisi
Kuu ya CCM Kisiwandyui Zanzibar
KATIBU Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally akionesha Kadi za Wanachama Wapya
kutoka CUF na kujiunga Chama cha Mapinduzi kutoka Mkoa wa Kusini Unguja akipata
maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ramadhan
Abdalla, wakati wa hafla hiyo ya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Afisi
Kuu ya CCM Kisiwandyui Zanzibar
BAADHI ya Wazee wa CCM Zanzibar na Viongozi wa CCM wakifuatilia hutuba
ya Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally wakati akihutubia mkutano wa hadhara
katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar wakishangilia wakati Katibu
Mkuu wa CCM akihutubia wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja
vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar
No comments:
Post a Comment