Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi Afungua Maonesho ya Siku ya Wakulima NaneNane Viwanja Vya Kizimbani Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akiwasili katika viwanja vya Maonesho Kizimbani kwa ajili ya Ufunguzi wa Maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar NaneNane kulia Waziri wa Kilima Maliasili Mifugo na Uvuvi Mhe. Rashid Ali Juma , Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na kushoto Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuashiria kuyafungua maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar Nanenane katika viwanja vya Kizimbani Unguja kulia Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Rashid Ali Juma na kushoto Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akiangalia Jarida la Waziri wa Kilimo wakati akitembelea maonesho hayo baada ya kuyafungua  katika viwanja vya Kizimbani Unguja
MKUU wa Idara ya Uhakiki  Chakula na Lishe Zanzibar Ali Mohammed Omar akitowa maelezo kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi alivyotembelea banda hilo wakati wa maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar
MWANAFUNZI wa Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Tawi la Zanzibar Mabula Limbu akitowa maelezo ya kisanyansi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi alipotembelea banda lao wakati wa maonesho ya Siku ya Wakulima NaneNane katika viwanja vya kizimbani Zanzibar
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akiangalia bidhaa za Mjasiriamali wa Kikundi cha (ZAIDAT ) cha Chukwani Zanzibar ,  Mwaita Ali  kinachojishughulisha na utengenezaji  wa sabuni za mwani
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akiangalia jozi ya viatu vya makubazi  vinavyotengenezwa na Kikundi cha Vumilia Machomane Pemba, wakati akitembelea maonesho hayo na kupata maelezo kutoka kwa Mwanakindu hichi Bi. Khadija Rashid
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Vijana wa Taasisi ya Wanahabari Vijana Zanzibar, alipotembelea banda lao la maonesho wakati wa maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya kizimbani Zanzibar
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Vijana wa Taasisi ya Wanahabari Vijana Zanzibar, alipotembelea banda lao la maonesho wakati wa maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya kizimbani Zanzibar
WAZIRI wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Rashid Ali Juma akizungumza wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa Maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar katika viwanja vya Kizimbani Zanzibar
BAADHI ya Wakulima wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar wakati Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, akihutubia katika viwanja vya kizimbani Zanzibar
BAADHI ya Wananchi na wageni waalikwa wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi wakati akihutubia baada ya kuyafungua maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar,yanayofanyika katika viwanja vya Kizimbani Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.