Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Demokrasia ya Watu wa Congo (DRC) Mhe. Joseph Kabila kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC (SADC Organ on Politics, Defence and Security) katika ukumbi wa Mikutano wa hoteli ya Safari Court Mjini Windhoek, Namibia, usiku wa Alhamisi Agosti 16, 2018
UBIA WA BARRICK NA TWIGA WAZIDI KUSTAWISHA UCHUMI NA THAMANI YA PAMOJA
NCHINI TANZANIA
-
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa akizungumza kwenye mkutano na
waandishi wa habari Julai 7,2025 katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu - Picha
: Kad...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment