Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zubeir Ali Maulid alipokwenda kumuaga kabla ya kuanza safari ya kwenda Botswana kuhudhuria mkutano huo wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola
KONGAMANO LA MIAKA 60 LINATARAJIWA KUFANYIKA TUNGUU ZANZIBAR
-
Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed
Salim (Centre Foreign Relation) Dkt. Jacob G. Nduye (Kushoto) akitoa
taarifa kwa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment