Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina ya STECOL inayosimamia Mradi wa usambazaji
maji safi na salama katika maeneo ya mbalimbali ya Mji wa Zanzibar
wakisambaza mabomba hayo katika mitaa ya Miembeni Unguja, wakiwa katika eneo la Miembeni jitini wakitandaza mpira wa kusambazia maji katika mitaa hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakati akiwa katika mitaa mbalimbali ya Zenj.
SERIKALI IMETOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA
-
Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa
zai...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment