Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina ya STECOL inayosimamia Mradi wa usambazaji
maji safi na salama katika maeneo ya mbalimbali ya Mji wa Zanzibar
wakisambaza mabomba hayo katika mitaa ya Miembeni Unguja, wakiwa katika eneo la Miembeni jitini wakitandaza mpira wa kusambazia maji katika mitaa hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakati akiwa katika mitaa mbalimbali ya Zenj.
Taasisi ya THE SAME QUALITY FOUNDATION wameendesha kambi ya matibabu ya
midomo wazi
-
Wizara ya afya Zanzibar kwa kushirikian na Taasisi ya THE SAME QUALITY
FOUNDATION wameendesha kambi ya matibabu ya midomo wazi katika hospitali
ya mk...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment