Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshima za mwisho katika jeneza lenye
mwili wa Msanii mkongwe wa Vichekesho na Maigizo nchini Mzee Amri Athuman “King
Majuto katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshima za mwisho katika jeneza lenye
mwili wa Msanii mkongwe wa Vichekesho na Maigizo nchini Mzee Amri Athuman “King
Majuto katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji Hamza
Amri Athuman mtoto wa marehemu Msanii mkongwe wa Vichekesho na Maigizo nchini
Mzee Amri Athuman “King Majuto katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh
Abubakary Zubeiry Bin Ally akisoma dua kumuombea Marehemu Mzee Amri Athuman
“King Majuto katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Mara baada ya dua
hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliongoza
mamia ya wananchi kutoa heshma za mwisho katika msiba huo. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment