WANANCHI
wakipata huduma ya vipimo vya Afya kutoka kwa Madaktari Bingwa wa maradhi
mbalimbali katika viwanja vya Maisara Zanzibar wakati wa Kambi ya kuchunguza
maradhi na Uchangiaji wa Damu ilioandaliwa na Jumuiya ya Jamiiyatul Akhlaaqul Islaam kwa kushirikiana Jamii Bora
Health Services Network, wakitowa huduma hiyo
WANANCHI wakipata huduma ya vipimo vya Afya kutoka kwa Madaktari Bingwa wa maradhi mbalimbali katika viwanja vya Maisara Zanzibar wakati wa Kambi ya kuchunguza maradhi na Uchangiaji wa Damu ilioandaliwa na Jumuiya ya Jamiiyatul Akhlaaqul Islaam kwa kushirikiana Jamii Bora Health Services Network, wakitowa huduma hiyo
DAKTARI
Bingwa wa Maradhi ya Watoto kutoka SMV Health Center Ilala Dar es Salaam
Hospitali pekee ya Wanawake na Watoto Dr. Alma Ally Sykes, akitowa huduma kwa
wananchi waliofika katika viwanja vya maisara Zanzibar kuangalia afya zao
wakati wa zoezi la kuchangia Damu lililoandaliwa na Jumuiya ya Jamiiyatul Akhlaaqul Islaamia kwa kushirikiana na Jamii
Bora Health Services, hafla hiyo imafanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar
DAKTARI
Mbarouk Khamis akimsiliza Mwananchi Nassor Juma, alipofika katika viwanja vya
maisara Zanzibar kuchunguza afya yake wakati wa kambi ya kuchangia Damu na
kuchunguza Afya za Wananchi wa magonjwa mbalimbali kambi hiyo imeandaliwa na
Jumuiya ya Jamiiyatul Khlaaqul Islaamia kwa kushirikiana na Jamii Bora Health
Services
DAKTARI
Bingwa wa Macho kutoka Nchini Ufaransa Dr. Mohamad Mehdi akimfanyanyi uchunguzi
wa macho Mtoto Ahmada Haji wakati wa zoezi la kambi ya kuchangia Damu na
Kuchunguza Afya za Wananchi wa Zanzibar ilioandaliwa na Jumuiya ya Jamiiyatul Khlaaqul Islaam kwa kushirikiana na Jamii Bora
Services Network, inayofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar
DAKTARI
wa Kitengo cha kuchangia Damu Muzalifa Amour akimfanyia vipimo vya kumpima
presha Mwananchi aleyefika kuchangia damu wakati wa Kambi hiyo ya siku mbili
katika viwanja vya Maisara Zanzibar
No comments:
Post a Comment