Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Akutana na Balozi wa China Nchini Tanzania Jijini Dar es Dar es Salaam.

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa China Nchini Tanzani Bibi Wang Ke, alipofika Ofisini kwake kwa mazungumzo ya Kikazi katika Ofisi yake Jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa China Nchini Tanzania Bi. Wang Ke, alipofika Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo ya kikazi leo    Agosti 24/2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu )

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.