Habari za Punde

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Lugola Azindua Wiki ya Zimamoto na Uokoaji Kitaifa Jijini Dodoma.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola (Mb) akihutubia wakati wa Uzinduzi wa Maadhimosho ya Wiki ya Zimamoto na Uokoaji Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Jamhuri, Jijini Dodoma
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, CGF Thobias Andengenye, akisoma hotuba ya kumkaribisha Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola (Mb), katika Uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Zimamoto na Uokoaji Kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri, Jijini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola (Mb) akipokea salaam ya heshima (Guard of Honor), iliyoandaliwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Zimamoto na Uokoaji Kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri, Jijini Dodoma. 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola (Mb) akikagua Gwaride la heshima ililoandaliwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakati wa Uzinduzi wa Maadhimosho ya Wiki ya Zimamoto na Uokoaji Kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri, Jijini Dodoma

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola (Mb) akimsikiliza Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Raymond Mgaya, kutoka Kitengo cha Elimu kwa Umma katika Uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Zimamoto na Uokoaji Kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri, Jijini Dodoma. (Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)
Kauli mbiu ya Maadhimisho ya WIKI YA ZIMAMOTO NA UOKOAJI KITAIFA ni “Shiriki kukuza Uchumi wa Viwanda kufunga ving’amua moto kwenye viwanda”

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA HABARI NA ELIMU KWA UMMA-JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.