Habari za Punde

Gavana wa Jimbo la Guangxi Zhuang Akitembelea Mabanda ya Maonesho ya Biashara ya 15 ya Kimataifa Nchini China.

Gavana wa Jimbo la Guangxi Zhuang la Nchini China, Chen Wu (katikati) akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk. Khalid Salum Mohammed wakati gavana huyo alipotembelea Banda la Tanzania katika Maonesho ya 15 ya Kimataifa ya China na Nchi za Asia (CAEXPO) yanayofanyika katika Mji wa Nanning Jimbo la Guangxi Nchini China. Kulia Waziri wa Biashara na Viwanda, Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali

Gavana  wa Jimbo la Guangxi Zhuang la Nchini China, Chen Wu akiangalia bidhaa za viungo zinazozalishwa na Zanzibar Organic Producers wakati alipotembelea Banda la Tanzania katika Maonesho ya 15 ya Kimataifa ya China na Nchi za Asia (CAEXPO) yanayofanyika katika Mji wa Nanning Jimbo la Guangxi Zhuang Nchini China.
(Picha na Haroub Hussein)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.