Mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara kati ya Ndanda dhidi ya mabingwa watetezi Simba umemalizika kwa suluhu ya bila kufungana.
Hii ni mara ya kwanza kwa klabu ya Ndanda kupata pointi moja dhidi ya Simba kwani tangu ipande daraja misimu minne iliyopita haikuwa imewahi kushinda wala kupata sare dhidi ya Simba.
Licha ya kumiliki mpira kwa muda mwingi washambuliaji wa Simba John Bocco, Meddie Kagere na Emmanuel Okwi hawakufanikiwa kuipenya ngome ya Ndanda iliyotumia wachezaji wote 10 katika kujilinda.
Matokeo ya michezo yote iliyopigwa leo;
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment