Mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara kati ya Ndanda dhidi ya mabingwa watetezi Simba umemalizika kwa suluhu ya bila kufungana.
Hii ni mara ya kwanza kwa klabu ya Ndanda kupata pointi moja dhidi ya Simba kwani tangu ipande daraja misimu minne iliyopita haikuwa imewahi kushinda wala kupata sare dhidi ya Simba.
Licha ya kumiliki mpira kwa muda mwingi washambuliaji wa Simba John Bocco, Meddie Kagere na Emmanuel Okwi hawakufanikiwa kuipenya ngome ya Ndanda iliyotumia wachezaji wote 10 katika kujilinda.
Matokeo ya michezo yote iliyopigwa leo;
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment