MASHINDANO ya vijana ngazi ya centrala na Jounier wilaya ya chake chake, Msaidizi wa makamu wa pili Pemba Amran Massoud Amran akiwa mgeni rasmi na kuwakabidhi zawadi watoto wa mjini chake chake, kubwa aliwataka viongozi wa vilabu kuhakikisha wanakuwa makini katika kutafuta umri wa wachezaji wanaoshiriki mashindano hayo, kwa kuhofia yaliyotokea kwa timu ya Vijana ya zanzibar kutolewa katika mashindano ya CECAFA mwaka jana
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment