MASHINDANO ya vijana ngazi ya centrala na Jounier wilaya ya chake chake, Msaidizi wa makamu wa pili Pemba Amran Massoud Amran akiwa mgeni rasmi na kuwakabidhi zawadi watoto wa mjini chake chake, kubwa aliwataka viongozi wa vilabu kuhakikisha wanakuwa makini katika kutafuta umri wa wachezaji wanaoshiriki mashindano hayo, kwa kuhofia yaliyotokea kwa timu ya Vijana ya zanzibar kutolewa katika mashindano ya CECAFA mwaka jana
Serikali Yaahidi Kuwawezesha Watu Wenye Ulemavu Kushiriki Shughuli za
Uchumi na Jamii
-
WAZIRI wa nchi ofisi ya waziri mkuu kazi, ajira, vijana na watu wenye
ulemavu Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete ameshiriki kongamano la watu Wenye
Ulemavu l...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment