MASHINDANO ya vijana ngazi ya centrala na Jounier wilaya ya chake chake, Msaidizi wa makamu wa pili Pemba Amran Massoud Amran akiwa mgeni rasmi na kuwakabidhi zawadi watoto wa mjini chake chake, kubwa aliwataka viongozi wa vilabu kuhakikisha wanakuwa makini katika kutafuta umri wa wachezaji wanaoshiriki mashindano hayo, kwa kuhofia yaliyotokea kwa timu ya Vijana ya zanzibar kutolewa katika mashindano ya CECAFA mwaka jana
VITONGOJI VYOTE NCHINI KUFIKISHIWA UMEME IFIKAPO 2030
-
Wananchi waliotembelea Banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakipatiwa
maelezo ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vitongojini na wataalam
k...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment