Habari za Punde

Mtandao wa Kijamii wa Zanzinews.com Wakabidhiwa Hati ya Usajili wa Leseni ya Utangazaji Online na Tume ya Utangazaji Zanzibar.

Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi Leseni ya Utangazaji kupitia Online Mkurugenzi Mtendaji wa Zanzinews.Com. Othman Maulid Othman, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar kulia Mrajisi wa Tume ya Utangazaji Zanzibar Ndg. Omar Said Ameir, Jumla ya Vutuo 8 Vimekabidhiwa leseni ya Utangazaji kupitia Online.
WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo kushoto akimkabidhi Leseni  ya Online ya Utangazaji kupitia Facebook Online  Ikulu Zanzibar Mkurungenzi wa Mawasiliano Ikulu Zanzibar Ndg. Hassan Khatib, akishuhudia  Mrajasi wa Tume ya Utangazani Zanzibar Ndg. Omar Said Ameir, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mikutano Wizara ya Habari Kikwajuni Zanzibar. 
WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo kushoto akimkabidhi Leseni  ya Online ya Utangazaji kupitia Facebook Online Idara ya Habari Maelezo Zanzibar akikabidhiwa Naibu  Mkurungenzi  Idara ya Mabari Maelezo Zanzibar  Dkt. Juma Mohammed Salum, akishuhudia  Mrajasi wa Tume ya Utangazani Zanzibar Ndg. Omar Said Ameir, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mikutano Wizara ya Habari Kikwajuni Zanzibar


 WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombe kulia akimkabidhi Mkurugenzi wa Kituo cha Zanonline Tech Ndg Said Abdallah, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni, akishuhudia Mrajisi wa Tume ya Utangazaji Zanzibar Ndg. Omar Said Ameir
WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombe kulia akimkabidhi Mkurugenzi wa Kituo cha Pemba Tv Online Ndg Abdallah Juma , hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni, akishuhudia Mrajisi wa Tume ya Utangazaji Zanzibar Ndg. Omar Said Ameir
 WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombe kulia akimkabidhi Mkurugenzi wa Kituo cha Mubashara Media Network Ndg Suleiman Juma  hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni, akishuhudia Mrajisi wa Tume ya Utangazaji Zanzibar Ndg. Omar Said Ameir

WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombe akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Lesini za Utangazaji kupitia Mitandao (Online Tv) na Mitangao ya Kijamii, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.