Habari za Punde

Rais Dk Shein aongoza dua kuwaombea waathirika ajali ya M V Nyerere

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akiongoza dua ya kuwaombea marehemu na waliopata manusura katika ajali ya Mv.Nyerere baada ya swala ya Ijumaa katika Msikiti Masjid Tambaza Jijini Dar es Salaam jana,[Picha na Ikulu.] 28/09/2018.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akisalimiana na Waumini wa dini ya kiislamu mara baada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti Masjid Tambaza Jijini Dar es Salaam jana,[Picha na Ikulu.] 28/09/2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akisalimiana na Waumini wa dini ya kiislamu mara baada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti Masjid Tambaza Jijini Dar es Salaam jana,[Picha na Ikulu.] 28/09/2018.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.