Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt.
John Kiang’u Jingu kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Wazee na Watoto katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino
jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Kamishna Diwani Athuman Msuya kuwa
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa TAKUKURU katika Ikulu
ya Chamwino jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Azizi Mlima kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uganda
katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. John Kiang’u Jingu wa kwanza
kulia, akifatiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uganda Dkt. Azizi Ponary Mlima
pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa TAKUKURU
Diwani Athuman Msuya wakila Kiapo cha Uadilifu mara baada ya kuapishwa katika
Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya
Kupambana na Kuzuia Rushwa TAKUKURU Diwani Athuman Msuya akizungumza mara baada
ya kuapishwa katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada
ya tukio la Uapisho lililofanyika katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. John Kiang’u Jingu wa kwanza
kulia, akifatiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uganda Dkt. Azizi Ponary Mlima
pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa TAKUKURU
Diwani Athuman Msuya waki tia saini kwenye hati ya Uadilifu katika Ikulu ya
Chamwino jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Mkurugenzi Mkuu wa
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa TAKUKURU Diwani Athuman Msuya pamoja na
Balozi mteule Valentino Mlowola mara baada ya tukio la Uapisho katika Ikulu ya
Chamwino mkoani Dodoma. Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment