Menejimenti ya Uongozi wa Mtandao wa Kijamii wa Zanzinews. Com, unatowao Mkono wa Pole kwa Ndugu na Jamaa Wote waliofikwa na Msiba huu Mzito wa kuwapoteza Wapenda wao na Ndugu zao katika Ajali ya Kivuko cha MV Nyerere.
Pia inawatakia Majeruhi kupata nafuu na kujiunga na Familia zao katika shughuli za maendeleo.
Marehemu wote Mwenyenzi Mungu awalaze mahali pema peponi.Ameen.
Na Majeruhi Tunawaombea Wapate Nafuu.
No comments:
Post a Comment