Wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Idara ya Utunzaji wa barabara wakiwa katika zoezi la kuifanyika matengenezo barabara ya kidimni Wilaya ya kati Unguja baada ya barabara hiyo kuharibika na kuweka lami katika eneo lililoharibika kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika zoezi hilo.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment