Wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Idara ya Utunzaji wa barabara wakiwa katika zoezi la kuifanyika matengenezo barabara ya kidimni Wilaya ya kati Unguja baada ya barabara hiyo kuharibika na kuweka lami katika eneo lililoharibika kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika zoezi hilo.
MDAU WA MAENDELEO TAIKO KULUNJU APONGEZWA KWA KUNUNUA MATENKI YA MAJI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
MDAU wa maendeleo wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Taiko Kulunju
Oletipa, amepongezwa kwa kitendo cha kununua matenki...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment