Habari za Punde

Wafanyakazi wa Idara ya Utunzaji wa Barabara Wakifanyia Ukarabati Barabara ya Kidimni Wilaya ya Kati Unguja.

Wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Idara ya Utunzaji wa barabara wakiwa katika zoezi la kuifanyika matengenezo barabara ya kidimni Wilaya ya kati Unguja baada ya barabara hiyo kuharibika na kuweka lami katika eneo lililoharibika kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika zoezi hilo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.