Mafundi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA wakiwa katika zoezi la kurejesha huduma ya maji kwa Wananchi wa mitaa ya kikwajuni juu na bondeni baada ya miundombinu hiyo ya bomba la kupitisha maji kupasuka na kulifanyia ukarabati kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika hatua za mwisho wakiweka mchanga baada ya kumaliza matengenezo hayo.
WATOA HUDUMA ZA VVU NA UKIMWI WAHAMASISHWA KUONGEZA NGUVU KUTAFUTA WALIOACHA KUTUMIA DAWA ZA ARVs
-
*Watoa Huduma za VVU na UKIMWI mkoani Shinyanga wametakiwa kuongeza juhudi
za kuwatafuta,kuwarudisha na kuhakikisha Watu wanaoishi na Maambukizi ya
Virus...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment