Mafundi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA wakiwa katika zoezi la kurejesha huduma ya maji kwa Wananchi wa mitaa ya kikwajuni juu na bondeni baada ya miundombinu hiyo ya bomba la kupitisha maji kupasuka na kulifanyia ukarabati kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika hatua za mwisho wakiweka mchanga baada ya kumaliza matengenezo hayo.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment