Mafundi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA wakiwa katika zoezi la kurejesha huduma ya maji kwa Wananchi wa mitaa ya kikwajuni juu na bondeni baada ya miundombinu hiyo ya bomba la kupitisha maji kupasuka na kulifanyia ukarabati kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakiwa katika hatua za mwisho wakiweka mchanga baada ya kumaliza matengenezo hayo.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment