Habari za Punde

Wahudumu wa Vuiongozi na Wageni Wapata Mafunzo ya Mapishi na Ukarimu Kutoka kwa Wakufunzi wa China wa Taasisi ya (CNRIFFI).

 BALOZI Mdogo wa China anayefanyia kazi zake Zanzibar Balozi Xie Xiaowu akizungumza wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi wa Mafunzo ya Mapishi na Ukaramu katika kuhudumia Viongozi na Wageni yanayotolewa na Wakufunzi kutoka Nchini China, ufunguzi huo umefanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
Msaidi Rais wa Taasisi ya China Natinal Research Institute of Food and Fermentation Industries Corporation Ltd (CNRIFFI) Bibi. Luo Yanquin akizungumza wakati wa ufunguzi huo wa mafunzo hayo ya Mapishi na Ukaramu yanayotolewa na Taasiosi yao kwa Wahudumu wa Viongozi wa Serikala na Wageni Zanzibar, uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar. 


WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu akizungumza wakati wa hafla ya kuyafungua Mafunzo ya Mapishi na Ukarimu wa huduma za kuwahudumia Viongozi na Wageni wakuu, yanayoendesha na Wakufunzi kutoka Nchini China, hafla hiyo ya ufunguzi umefanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar
BAADHI ya Makatibu Wakuu na Viongozi SMZ wakifuatilia hafla hiyo ya ufunguzi wa Mafunzo ya Mapishi na Ukarimu kwa Wahudumu wa Viongozi na wageni yaliofunguliwa katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar
 Wakufunzi  kutoka Taasisi ya China Natinal Research Institute of Food and Fermentation Industries Corporation Ltd, wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi (MBM)Mhe. Issa Haji Gavu akifungua mafunzo hayo  katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar
BAADHI ya Washiriki wa Mafunzo ya Mapisha na Ukarimu yatakayoendesha na Wakufunzi kutoka Nchini China wa Taasisi ya (CNRIFFI) wakati wa ufunguzi huo uliofanywa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Issa Haji Gavu katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar
 BAADHI ya Washiriki wa Mafunzo ya Mapisha na Ukarimu yatakayoendesha na Wakufunzi kutoka Nchini China wa Taasisi ya (CNRIFFI) wakati wa ufunguzi huo uliofanywa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Issa Haji Gavu katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.