Habari za Punde

Wanafunzi wa Madrasa ya Fatma bit Rassul wapewa zawadi




Ofisa Mdhamini wizara ya Vijana , Utamaduni , Sanaa na Michezo Pemba, Fatma Hamad Rajab, akiwakabidhi zawadi Wanafunzi wa Madrasa ya Fatma bit Rassul , ilioko Kengeja Pemba, ambao wamefanya vyema katika mitihani yao.

PICHA NA HABIBA ZARALI -PEMBA.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.