Wananchi wakiangalia gari zilizogongana katika makutano ya barabara ya maisara na muembemadena iliohususha gari mbili ndogo zenye namba ya Usajili Z541 JC aina ya Ist iliyogonga na gari yenye namba za usajili Z 357FL aina ya Vizt, katika jali hiyo hakuna Mtu aliyejeruhiwa. Ili magari yaliogonga yamepata madhara kutoka na ajali hiyo.
BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI KUMUAGA MZEE MSUYA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
akitoa salaam na heshima za mwisho wakati wa kuaga mwili wa Hayati Mzee
Cleopa...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment