Wananchi wakiangalia gari zilizogongana katika makutano ya barabara ya maisara na muembemadena iliohususha gari mbili ndogo zenye namba ya Usajili Z541 JC aina ya Ist iliyogonga na gari yenye namba za usajili Z 357FL aina ya Vizt, katika jali hiyo hakuna Mtu aliyejeruhiwa. Ili magari yaliogonga yamepata madhara kutoka na ajali hiyo.
RAIS DKT. MWINYI APOKEA TAARIFA YA UWASILISHWAJI WA HESABU ZA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar wakati ukipingwa
wimbo wa...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment