Wananchi wakiangalia gari zilizogongana katika makutano ya barabara ya maisara na muembemadena iliohususha gari mbili ndogo zenye namba ya Usajili Z541 JC aina ya Ist iliyogonga na gari yenye namba za usajili Z 357FL aina ya Vizt, katika jali hiyo hakuna Mtu aliyejeruhiwa. Ili magari yaliogonga yamepata madhara kutoka na ajali hiyo.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment