Mkurugenzi wa Best Quality Company, akiwa pamoja na wakufunzi wa mafunzo ya Wajasiriamali kwa vitendo huko katika ukumbi wa Chuo cha Mafunzo ya amali Vitongoji Pemba.
Meneja wa Benk ya CRDB Pemba, Ahmad Ali Abuubakar, akizungumzia fursa zinazopatikana kwa wajasiriamali katika Benk ya CRDB.
Mkufunzi wa mafunzo ya Wajasiriamali kwa vitendo, Geoffrey Kalinde kutoka Kampuni ya Mpilika akizungumza na Wajasiriamali ambao wanahudhuria mafunzo ya ujasiriamli kwa vitendo huko katika ukumbi wa
Chuo cha mafunzo ya amali Vitongoji .
Wajasiriamali wa Pemba wanaohudhuria mafunzo ya vitendo huko wa Chuo cha mafunzo ya amali Pemba
PICHA NA HABIBA ZARALI -PEMBA.
No comments:
Post a Comment