MAKAMU wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akisalimiana Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa
Kaskazini Mberwa Hamad Mberwa, wakati alipofika katika skuli ya maandalizi
Maziwa ngombe kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la Msingi skuli hiyo
MAKAMU wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekaji wa
jiwe la msingi katika skuli ya maandalizi Maziwangombe Wilaya ya Micheweni Mkoa
wa kaskazini Pemba
No comments:
Post a Comment