Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa
Zanzibar Limited (PBZ), Mhe.Kidawa Hamid Saleh akizungumza na Waandishi wa habari ni Viongozi wa Bodi na Viongozi wa PBZ wakati wa ziara ya Wakurugenzi wa Bodi kutembelea Matawi ya na kuzungumza na Wafanyakazi wakati wa kujitambulisha kwao na kutembelea Matawi yote ya PBZ Unguja.
Mwenyekiti wa Bodi mpya ya Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa
Zanzibar (PBZ), Kidawa Hamid Saleh akizungumza na waandishi wa habari (hawapo
pichani) kuhusiana na ziara ya wajumbe wa bodi hiyo katika matawi mbalimbali ya
pbz ya Unguja, ikiwa na lengo la kujionea maendeleo na changamoto
zinazowakabili wafanyakazi wa benki hiyo.
No comments:
Post a Comment