Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mdhamini wa Maulidi ya Mfungo Sita. Sheikh Sherali Champsi, alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Sherehe za Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad(S.A.W) yaliofanyika jana usiku 19-11-2018, kaitika viwanja hivyo.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment