Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, Ajumuika na Waumini wa Kiislam Zanzibar katika Sherehe ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) Katika Viwanja Vya Maisara Suleiman Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mdhamini wa Maulidi ya Mfungo Sita. Sheikh Sherali Champsi, alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Sherehe za Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad(S.A.W) yaliofanyika jana usiku 19-11-2018, kaitika viwanja hivyo. 





































No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.