Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mdhamini wa Maulidi ya Mfungo Sita. Sheikh Sherali Champsi, alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Sherehe za Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad(S.A.W) yaliofanyika jana usiku 19-11-2018, kaitika viwanja hivyo.
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment