Habari za Punde

Wizara ya Afya yatiliana saini na Hospitali ya Nanjing Drum Tower ya China kuchunguza kansa ya shingo ya kizazi

 Katibu mkuu Wizara ya Afya Asha Ali Abdalla kushoto akitiliana saini na Makamu wa Rais wa Hospitali ya Nanjing Drum Tower ya China Yu Cheng Gong kuhusiana na Mradi wa kuchunguza Kansa ya Shingo ya kizazi,hafla iliofanyika Wizara ya Afya Zanzibar.
Katibu mkuu Wizara ya Afya Asha Ali Abdalla kushoto akibadilishana hati ya  saini na Makamu wa Rais wa Hospitali ya Nanjing Drum Tower ya China Yu Cheng Gong kuhusiana na Mradi wa kuchunguza Kansa ya Shingo ya kizazi,hafla iliofanyika Wizara ya Afya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.