Habari za Punde

Madrasatul Tarbiyyatul Islamiyya Limbani Wete Kisiwani Pemba. Yaadhimisha Sherehe za Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad SAW .

MLEZI wa Almadrasat Tarbiyyatul Islamiyya ya Limbani Wete bi Mauwa Abeid Daftari akiwa na wanawake wa kiislamu katika maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad (SAW) huko Limbani Wete.
MKURUGENZI wa green light foundation Salim Mussa Omar (wa pili kulia) akiwaongoza waislamu katika mauled ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad (SAW) katika chuo cha almadrasat Tarbiyya Islamiyya ya Limbani Wete
WANAFUNZI wa Almadrasat Tarbiyyatul Islamiyya ya Limbani Wete wakitumbuiza katika mauled ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad (SAW)  katika chuo hicho huko limbani Wete  

MKURUGENZI wa Green Light Foundation Zanzibar Ndg.Salim Mussa Omar, akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wanafunzi wa Madrasatul Tarbiyya Islamiyya ya Limbani Wete Pemba wakati wa hafla ya Maulidi ya kuzaliwa Mtume Muhammad SAW, yaliofanyika katika Madrasa hiyo Wete Pemba.
(Picha na Said Abdulrahman - Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.