Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Simai Moh’d Said (wa kwanza kulia) ambae pia ni Mjumbe wa Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo mara baada ya kukagua miundombinu katika Skuli ya Sekondari ya Moh'd Juma Pindua iliyopo Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment