Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Simai Moh’d Said (wa kwanza kulia) ambae pia ni Mjumbe wa Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo mara baada ya kukagua miundombinu katika Skuli ya Sekondari ya Moh'd Juma Pindua iliyopo Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba.
SIMBA SC YAANZA VIBAYA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
-
*EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV*
*KLABU ya Simba SC imeanza vibaya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada
ya kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Petro...
4 hours ago



No comments:
Post a Comment