Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Simai Moh’d Said (wa kwanza kulia) ambae pia ni Mjumbe wa Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo mara baada ya kukagua miundombinu katika Skuli ya Sekondari ya Moh'd Juma Pindua iliyopo Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba.
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi la
Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uadili...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment