Mchezaji wa Timu ya KCCA kutoka Uganda akiwa na mpira akijiandaa kutowa pasi wakati wa mchezo wao wa Kombe la Afrika Mashari uliofanyika Uwanbja wa Gymkhana dhidi ya Timu ya KVZ ya Zanzibar.Timu ya KCCA imeshinda mchezo huo kwa mabao 48 - 32.
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
NAJIULIZA maswali ya msingi, kama raia mwenye tafakuri na uzoefu katika
uongozi: je, wanaohamasisha maandamano ni wapinzani, wanaharakat...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment