Mchezaji wa Timu ya KCCA kutoka Uganda akiwa na mpira akijiandaa kutowa pasi wakati wa mchezo wao wa Kombe la Afrika Mashari uliofanyika Uwanbja wa Gymkhana dhidi ya Timu ya KVZ ya Zanzibar.Timu ya KCCA imeshinda mchezo huo kwa mabao 48 - 32.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment