Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Afrika Mashariki Uwanga wa Gymkhana Zanzibar Kati ya KCCA Kutoka Uganda na KVZ ya Zanzibar Timu ya KCCA ImeshindaMchezo huo kwa Bao .48 - 32.Y

Mchezaji wa Timu ya KCCA kutoka Uganda akiwa na mpira akijiandaa kutowa pasi wakati wa mchezo wao wa Kombe la Afrika Mashari uliofanyika Uwanbja wa Gymkhana dhidi ya Timu ya KVZ ya Zanzibar.Timu ya KCCA imeshinda mchezo huo kwa mabao 48 - 32.







No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.