Mchezaji wa Timu ya KCCA kutoka Uganda akiwa na mpira akijiandaa kutowa pasi wakati wa mchezo wao wa Kombe la Afrika Mashari uliofanyika Uwanbja wa Gymkhana dhidi ya Timu ya KVZ ya Zanzibar.Timu ya KCCA imeshinda mchezo huo kwa mabao 48 - 32.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment