Wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Zantel wakishangilia ushindi wa Taifa Stars dhidi ya timu ya Cranes ya Uganda na kufanikiwa kuifunga Uganda Cranes mabao 3-0 na kufanikiwa kusonga mbele katika fainali za mashindano ya AFCON yatakayofanyika nchini Misri.
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
NAJIULIZA maswali ya msingi, kama raia mwenye tafakuri na uzoefu katika
uongozi: je, wanaohamasisha maandamano ni wapinzani, wanaharakat...
13 hours ago



No comments:
Post a Comment