Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akiwa na watendaji wakuu wa wizara hiyo wakizungumza na ujumbe kutoka World Bank Bi Safaa El Tayeb El-Kagali (wa kwanza kulia) na Mr.Kaboko Nkahiga (wa pili kulia) ofisini kwake Mazizini ujumbe ambao umekuja kuangalia maendeleo ya mradi wa ZISP juu ya ujenzi wa vituo vya maabara na utoaji Mafunzo kwa Walimu.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment