Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akiwa na watendaji wakuu wa wizara hiyo wakizungumza na ujumbe kutoka World Bank Bi Safaa El Tayeb El-Kagali (wa kwanza kulia) na Mr.Kaboko Nkahiga (wa pili kulia) ofisini kwake Mazizini ujumbe ambao umekuja kuangalia maendeleo ya mradi wa ZISP juu ya ujenzi wa vituo vya maabara na utoaji Mafunzo kwa Walimu.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
15 hours ago



No comments:
Post a Comment