Mkuuwa Wilaya ya Kati, Mhe Hamida Mussa Khamis akipewa maelezo wakati alipowasili kuzindua zoezi la upimaji wa afya lililofanyika huko Mwera
Baadhi ya wananchi wa Wilaya ya kati waliotumia fursa ya kuitika katika kuhudhuria zoezi la upimaji wa afya wakiendelea kupatiwa huduma
Baadhi ya wamnanchi waliohudhuria zoezi la upimaji wa afya wakiwasili Mwera kwa ajili ya kupimwa afya zao katika zoezi maalum la upimaji wa afya lililofanyika Mwera hapo jana
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya kati wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hawakuwa nyuma wakati wa zoezi la upimaji wa afya lililofanyika Mwera hapo jana
Mkuu wa Wilaya ya kati , Mhe Hamida Mussa Khamis akipima afaya yake wakati akipimwa Pressure akiongoza zoezi la upimaji wa afya huko Mwera
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment