Mkuuwa Wilaya ya Kati, Mhe Hamida Mussa Khamis akipewa maelezo wakati alipowasili kuzindua zoezi la upimaji wa afya lililofanyika huko Mwera
Baadhi ya wananchi wa Wilaya ya kati waliotumia fursa ya kuitika katika kuhudhuria zoezi la upimaji wa afya wakiendelea kupatiwa huduma
Baadhi ya wamnanchi waliohudhuria zoezi la upimaji wa afya wakiwasili Mwera kwa ajili ya kupimwa afya zao katika zoezi maalum la upimaji wa afya lililofanyika Mwera hapo jana
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya kati wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hawakuwa nyuma wakati wa zoezi la upimaji wa afya lililofanyika Mwera hapo jana
Mkuu wa Wilaya ya kati , Mhe Hamida Mussa Khamis akipima afaya yake wakati akipimwa Pressure akiongoza zoezi la upimaji wa afya huko Mwera
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment