Katika pitapita yangu katika maeneo ya Kisiwa cha Pemba nimeweza kujionea jinsi ya muembe ulivyonawiri na kuzaa embe nyingi tafauti na miembe mingine jinsi ulivyoshehena embe hizi kama inavyoonekana pichani.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment