Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba (katikati)
akizungumza na wazalishaji wa mifuko mbadala wa plastiki (hawapo pichani).
Katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam, pamoja na
mambo
mengine wazalishaji hao wa mifuko mbadala wameihakikishia Serikali kuwa wako tayari kuongeza kasi ya usambazaji wa mifuko mbadala kote nchini.
Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Baraza la Taifa la
Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Nchini Dkt. Samuel Gwamaka. Kulia.Dkt. Freddy
Manyika Kaimu Mkurugenzi Idara ya Mazingira.
SehemuyawazalishajiwamifukombdalawaplastikikutokaKampunimbalimbaliwakimsikilizaWaziri
waNchiOfisiyaMakamuwaRais (MuunganonaMazingira) Mhe. January Makamba (hayupopichani)
katikakikaokilichofanyikakatikaukumbiwaKarimjeeJijini Dar es Salaam, pamojana
mambo
menginewazalishajihaowamifukombadalawameihakikishiaSerikalikuwawakotayarikuongezakasiyausambazajiwamifukombadalakotenchiniikiwaniutekelezajiwaagizo
la Serikali la kusitishamatumiziyamifukoyaplastikihapanchiniifikapotarehe 1
Juni 2019.
Bw.
HenerikoBatamuzikutokaKampuniya Kenwood Enterprise (T) Ltd
akichangiamadakatikakikao cha wadau cha kupitiaRasimuyaKanunizakusimamia Taka
Hatarishihapanchini. OfisiyaMakamuwaRaisimeandaarasimuyaKanunimpyazakusimamia
Taka Hatarishinchiniikiwanipamojanaukusanyaji, urejelezaji,
uteketezajinausafirishaji wake ndaninanjeyanchi.
KikaohikikimefanyikakatikaUkumbiwaKarimjeeJijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment