Habari za Punde

Wachezaji Bora wa Ligi Kuu ya ,2018/2019 Zanzibar.

Moh'd Seif belo wa pili kushoto mchezaji mwenyenidhamu bora wa msimu kutoka POLISI

Wa kwanza kushoto ni Abubakar Sufiani Kabela wa FIRE mfungaji bora ana magoli sawa na Mussa Ali Mbarouk wa KMKM wa pili kutoka kulia wote wakiwa wamepata zawadi sawa baada ya kua na magoli sawa.... nini maoni yako?
Na wamwisho kulia ni mchezaji bora kijana wa msimu Ibrahim Ali Juma Chafu wa MLANDEGE.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.