Moh'd Seif belo wa pili kushoto mchezaji mwenyenidhamu bora wa msimu kutoka POLISI
Wa kwanza kushoto ni Abubakar Sufiani Kabela wa FIRE mfungaji bora ana magoli sawa na Mussa Ali Mbarouk wa KMKM wa pili kutoka kulia wote wakiwa wamepata zawadi sawa baada ya kua na magoli sawa.... nini maoni yako?
Na wamwisho kulia ni mchezaji bora kijana wa msimu Ibrahim Ali Juma Chafu wa MLANDEGE.
Mahakama ya Afrika yaipa Rwanda siku 90 kujibu madai ya Congo ya kufadhili
waasisi wa M23
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
MAHAKAMA ya Afrika ya Watu na Haki za Binaadam (AfCPHR), imejiridhisha
kwamba inayouwezo na mamlaka ya kusikiliza kesi ya Jamhuri...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment