Moh'd Seif belo wa pili kushoto mchezaji mwenyenidhamu bora wa msimu kutoka POLISI
Wa kwanza kushoto ni Abubakar Sufiani Kabela wa FIRE mfungaji bora ana magoli sawa na Mussa Ali Mbarouk wa KMKM wa pili kutoka kulia wote wakiwa wamepata zawadi sawa baada ya kua na magoli sawa.... nini maoni yako?
Na wamwisho kulia ni mchezaji bora kijana wa msimu Ibrahim Ali Juma Chafu wa MLANDEGE.
TANZANIA KUBEBA SAUTI YA AFRIKA COP30, NISHATI SAFI YAPEWA KIPAUMBELE
-
Mwandishi Wetu, Dodoma.
Tanzania kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika
kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) itaongoza na kubeba s...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment