Habari za Punde

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar Akitowa Elimu ya Utumiaji wa Taa za Kuongozea Watemba Kwa Miguu Eneo la Bizredi

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar akitowa Elimu kwa Wanafunzi wa Madrasa ya Kwabiziredi Unguja, jinsi ya kutumia Taa za kuongozea gari na watembea kwa miguu  wakati wakitumia barabara hiyo wakati wa kukatisha barabara.Kama alivyokutwa na Kamera yetu ya Blog ya zanzinews.com, katika eneo hilo wakipata Elimu hiyo kupitia Jeshi la Polisi Usalama Barabarani Zanzibar.



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.