Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar akitowa Elimu kwa Wanafunzi wa Madrasa ya Kwabiziredi Unguja, jinsi ya kutumia Taa za kuongozea gari na watembea kwa miguu wakati wakitumia barabara hiyo wakati wa kukatisha barabara.Kama alivyokutwa na Kamera yetu ya Blog ya zanzinews.com, katika eneo hilo wakipata Elimu hiyo kupitia Jeshi la Polisi Usalama Barabarani Zanzibar.
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
NAJIULIZA maswali ya msingi, kama raia mwenye tafakuri na uzoefu katika
uongozi: je, wanaohamasisha maandamano ni wapinzani, wanaharakat...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment