Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar akitowa Elimu kwa Wanafunzi wa Madrasa ya Kwabiziredi Unguja, jinsi ya kutumia Taa za kuongozea gari na watembea kwa miguu wakati wakitumia barabara hiyo wakati wa kukatisha barabara.Kama alivyokutwa na Kamera yetu ya Blog ya zanzinews.com, katika eneo hilo wakipata Elimu hiyo kupitia Jeshi la Polisi Usalama Barabarani Zanzibar.
WIZARA YA NISHATI KUJA NA MPANGO WA KUNADI VITALU VYA UTAFUTAJI WA GESI NA
MAFUTA NCHINI
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulia Mafuta na Gesi Dkt
James Mataragio akizungumza wakati alipofungua Kikao cha Pili cha Mkutano
wa Pil...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment