MRATIB wa Mradi wa kuwajengea uwezo Vijana katika suala zima la ujasiriamali, unaoendeshwa na jumuiya ya haki jamii Zanzibar Juma Said Ali, akiwasilisha mada ya mafanikio ya kilimo kwa vijana kutoka shehia Chonga mafunzo hayo yamefanyika mjini Chake Chake
Mahakama ya Afrika yaipa Rwanda siku 90 kujibu madai ya Congo ya kufadhili
waasisi wa M23
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
MAHAKAMA ya Afrika ya Watu na Haki za Binaadam (AfCPHR), imejiridhisha
kwamba inayouwezo na mamlaka ya kusikiliza kesi ya Jamhuri...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment