Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mstahiki Meya wa Zanzibar Mhe Khatib Abdulraham alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Ibada ya Sala ya Eid Fitry iliofanyika Kitaifa katika viwanja hivyo leo 5-6-2019.kulia Katibu Mtendaji wa Wakfu na Mali ya Amani Zanzibar Sheikh Abdalla Talib
WIZARA YA NISHATI KUJA NA MPANGO WA KUNADI VITALU VYA UTAFUTAJI WA GESI NA
MAFUTA NCHINI
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulia Mafuta na Gesi Dkt
James Mataragio akizungumza wakati alipofungua Kikao cha Pili cha Mkutano
wa Pil...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment