Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mstahiki Meya wa Zanzibar Mhe Khatib Abdulraham alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Ibada ya Sala ya Eid Fitry iliofanyika Kitaifa katika viwanja hivyo leo 5-6-2019.kulia Katibu Mtendaji wa Wakfu na Mali ya Amani Zanzibar Sheikh Abdalla Talib
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati Mlandege na Mafunzo Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Mao ZedungTimu hizo Zimetoka Sare ya 0-0
-
Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege akiruka mkwanja wa beki wa Timu ya
Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo
uliyofanyika katika ...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment