Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mstahiki Meya wa Zanzibar Mhe Khatib Abdulraham alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Ibada ya Sala ya Eid Fitry iliofanyika Kitaifa katika viwanja hivyo leo 5-6-2019.kulia Katibu Mtendaji wa Wakfu na Mali ya Amani Zanzibar Sheikh Abdalla Talib
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment