Habari za Punde

Uzinduzi wa Mradi wa Kuhamasisha Watoto Kisiwani Pemba Kusoma Kisiwani Pemba.

MWANAFUNZI Ajba Nasurullah kutoka skuli ya Konde Msingi, akisoma kitabu wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuhamasisha wanafunzi kusoma vitabu, unaofadhiliwa na shirika la Book Aid International, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa maktaba kuu ya Chake Chake
MWANAFUNZI Abdullswamad Ali kutoka skuli ya Michakaeni Msingi, akisoma kitabu wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuhamasisha wanafunzi kusoma vitabu, unaofadhiliwa na shirika la Book Aid International, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa maktaba kuu ya Chake Chake
MRATIB wa Mkatab kuu ya Chake Chake Pemba, Mwaache Mohamed Bakari akitoa malezo mafupi juu ya mradi wa kusoma vitabu unaofadhiliwa na Shirika la Book Aid Internationl, wakati wa uzinduzi wa mradi huo uliofanyika katika kamtaba hiyo Pemba
Mkurugenzi wa Shirika la Huduma za Mkataba Zanzibar Schana Haji Fumu, akizungumiza juu ya mradi wa Book Aidi International unaohamasisha wanafuzi kusoma vitabu, wakati wa uzinduzi wa mradi huo kwa skuli za msingi za wilaya ya Mkoani, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mktaba kuu ya Chake Chake
BAADHI ya wanafunzi kutoka skuli tano za Wilaya ya Mkoani ambazo zimo katika mradi wa Book Aid Internationl, wenye lengo la kuhamasisha wanafunzi kusoma vitabu wakifuatilia uzinduzi wa mradi huo uliofanyika katika maktaba kuu ya Chake Chake.
MRATIBU wa Taasisi ya Elimu Pemba Asha Said Nassor (mwenye mtandio mwekundu) na Mkurugenzi wa huduma za Maktaba Zanzibar Schana Haji Fumu wa kwnza kushoto, wakiwakabidhi walimu na wanafunzi wa skuli ya Maghuduthi msingi, Vitabu na kabati vilivyotolew ana shirika la Book Aid International kupitia mradi wake wa kuhamasisha wanafunzi kupenda kusoma vitabu, hafla iliyofanyika katika Kamtaba kuu ya Chake Chake.
                                    (PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.