Rais Mstaafu wa awamu
ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Mkapa akikata utepe
kuashiria uzinduzi wa safari ya miaka mitano ya Chuo Kikuu cha Mt. Augustino cha
Tanzania (SAUT) kuelekea Jubilei ya miaka 25 tangu kuanzishwa hicho mwaka 1998.
Uzinduzi huo umefanyika kwa kuweka jiwe la msingi katika jengo la ukumbi wa
mikutano unaojengwa kwa matumizi ya kitaaluma na kijamii. Wa pili kushoto ni wa Rais wa Baraza la
Maaskofu Tanzania (TEC) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha SAUT na
Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita Askofu Flavian Kassala na Makamu wa Mkuu wa
Chuo Balozi Prof. Costa Ricky Mahalu (wa tatu kutoka kulia).
Rais Mstaafu wa awamu
ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Mkapa akiongea na wageni
waalikwa wakati wa uzinduzi wa safari ya miaka mitano ya Chuo Kikuu cha Mt.
Augustino cha Tanzania (SAUT) kuelekea Jubilei ya miaka 25 tangu kuanzishwa
hicho mwaka 1998.
Rais Mstaafu wa awamu
ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Mkapa akiongea na wageni
waalikwa wakati wa uzinduzi wa safari ya miaka mitano ya Chuo Kikuu cha Mt.
Augustino cha Tanzania (SAUT) kuelekea Jubilei ya miaka 25 tangu kuanzishwa
hicho mwaka 1998.
Rais Mstaafu wa awamu
ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Mkapa (kulia) akisalimia na
Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambaye pia ni Mwenyekiti wa
Baraza la Chuo cha SAUT na Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita Askofu Flavian
Kassala (kushoto) wakati wa uzinduzi wa safari ya miaka mitano ya Chuo Kikuu
cha Mt. Augustino cha Tanzania (SAUT) kuelekea Jubilei ya miaka 25 tangu
kuanzishwa hicho mwaka 1998.
Rais Mstaafu wa awamu
ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Mkapa (kulia) akipata
maelezo kutoka mmoja wa wanachuo wa SAUT wakati wa maonesho ya kitaaaluma
chuoni hapo.
Baadhi ya washiriki wa
hafla ya uzinduzi wa miaka 20 na safari ya miaka mitano ya Chuo Kikuu cha Mt.
Augustino cha Tanzania (SAUT) kuelekea Jubilei ya miaka 25 tangu kuanzishwa
kwake mwaka 1998.
Baadhi ya washiriki wa
hafla ya uzinduzi wa miaka 20 na safari ya miaka mitano ya Chuo Kikuu cha Mt.
Augustino cha Tanzania (SAUT) kuelekea Jubilei ya miaka 25 tangu kuanzishwa
kwake mwaka 1998.
(Picha na Gehaz Makoga
na Abubakari Yusuf-SAUT)
No comments:
Post a Comment